Wednesday, July 22, 2009

uchaguzi wa serikali ya wanafunzi tarehe 17 Julai 2009 na mendeleo ya ujenzi wa nyumba ya mwalimu







serikali ya wanafunzi pichani. vijana hao wawili ni kaka mkuu kushoto na katibu mkuu kiongozi wa shule picha nyingine ni Mwalimu mrimi (makamu wa mkuu wa shule) akiongea na viongozi.Picha nyingine ni maendeleo ya ujenzi wa nyumba ya mwalimu ambao unatarajiwa kukamilika tarehe 10 agost 2009








No comments:

Post a Comment