Saturday, July 11, 2009



mti huu ulipandwa na mheshimiwa mkuu wa wilaya bw. Marwa alipofanya ziara katika shule hii mwishoni mwa mwezi wa pili 2009. Shughuli za mazingira na upandaji wa miti katika shule hii ni shughuli mama, tayari tumeshapanda miti zaidi ya 1000, ingawa tunakwamishwa na swala la maji kwa ajili ya kumwagilia miti hiyo.



ujenzi wa ofisi ya walimu ukiwa umeshika kasi,ujenzi huo unatakiwa kukamilika kabla ya tarehe 22 julai 2009 ili waalimu wapate mahala pa kukaa na kuandaa masomo baada ya kunyang'anywa staff room yao na kuibatiza kua maktaba na reading room.






ujenzi wa nyumba ya mwalimu umeshaanza na kuta zinapandishwa





hiyo sehemu ya kati ya madarasa mawili ndio tunategemea kujenga ofisi ya walimu ambapo baadae itakua ni ofisi ya taaluma




Huu ni msingi wa madarasa manne na ofisi mbili kwa ajili ya kidato cha kwanza mwaka 2010








.

No comments:

Post a Comment