Tuesday, November 23, 2010

vitabu,majengo hostel

mkuu wa shule bwn bakari nyambwiro akiwa maktaba,
madarasa manne na ofisi mpya
maandalizi ya ujenzi wa hostel















Monday, May 3, 2010

shule yapata fedha


vitambulisho vya shule vyapatikana

tena vya kisasa ambavyo ni shule chache ambazo wanavyo,

pia shule imeahidiwa kupewa Tsh 9000000/= kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa, pamoja na mabilioni shule nyingine zilizopata mgao huo ni pamoja na Saweni, Pareni na Kibacha.