Saturday, February 26, 2011

bodi yastaajabu shule changa kuwa na vifaa vya maabara na vitabu vyakutosha











KIKAO CHA BODI



Wajumbe wa bodi, mara baada ya kikao kilichofanyika tarehe 25 feb 2011. kutoka kushoto ni bakari nyambwiro(katibu), kahabi(mwenyekiti),mwl.kisaka(mualikwa), Anna Mwajiwa(mjumbe),Dr. Godson Mangare(M/Mwenyekiti), Magreth juma(Mjumbe) MWl.Josephine machimu(Mjumbe)Ngoye Elieskia(Mjumbe), mtari wa nyuma kuanzia kulia, mzee kileng'a(mjumbe), wales kisaka(mwalikwa), mbwambo(Mwalikwa),Wales Makura(mjumbe) Mwl. aloyce shayo(mwalikwa), Mwl.Erast Patrice(mwalikwa) Mzee dismas Muono(mjumbe)