Monday, May 3, 2010

shule yapata fedha


vitambulisho vya shule vyapatikana

tena vya kisasa ambavyo ni shule chache ambazo wanavyo,

pia shule imeahidiwa kupewa Tsh 9000000/= kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa vyumba vya madarasa, pamoja na mabilioni shule nyingine zilizopata mgao huo ni pamoja na Saweni, Pareni na Kibacha.